Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, 4 February 2014

Sunday, 26 January 2014

Mwaka 2014 uwe wa waandishi kujirekebisha



Mwaka huu wa 2014, uwe ni mwaka wa kujirekebisha katika uandishi kwani yako matukio mengi ya kihistoria yatakayotokea.
Matukio haya ni maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao, kura ya maoni kuhusu Katiba Mpya, utayarishaji wa Rasimu ya Katiba ya Tanganyika, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na mambo kama hayo.

Msekwa, Kisumo wakoleza moto


 Pius Msekwa>PICHA MAKTABA 
Dar es Salaam. Wakati mjadala wa uteuzi wa mawaziri ukiendelea kupamba moto nchini, makada wakongwe wa CCM, Pius Msekwa na Peter Kisumo wamesema Rais Jakaya Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na habanwi na chama, wala mtu yeyote.