Tuesday, 11 February 2014
Tuesday, 4 February 2014
Appology For Inactivity
We are currently working on a new Website. You may visit to see the dem Here :
CLICK TO GO TO THE NEW WEBSITE DEMO
CLICK TO GO TO THE NEW WEBSITE DEMO
Sunday, 26 January 2014
Mwaka 2014 uwe wa waandishi kujirekebisha

Mwaka huu wa 2014, uwe ni mwaka wa kujirekebisha katika uandishi kwani yako matukio mengi ya kihistoria yatakayotokea.
Matukio haya ni maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao, kura ya maoni kuhusu Katiba Mpya, utayarishaji wa Rasimu ya Katiba ya Tanganyika, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na mambo kama hayo.
Msekwa, Kisumo wakoleza moto

Pius Msekwa>PICHA MAKTABA
Dar es Salaam. Wakati mjadala wa uteuzi wa mawaziri ukiendelea kupamba moto nchini, makada wakongwe wa CCM, Pius Msekwa na Peter Kisumo wamesema Rais Jakaya Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na habanwi na chama, wala mtu yeyote.