
Raia wa kigeni wanarejea makwao kutokana na machafuko yanayo endelea nchini Sudan Kusini
Mji huu unaopatikana kaskazini mwa nchi ni mji mkuu wa jimbo la Upper Nile, ambao ni tajiri kwa mafuta. Jeshi la serikali linapambana na waasi tangu jumatatu.
Waziri wa ulinzi wa Sudan Kusini , Kuol Manyang Juuk , amesema kwamba hizo ni habari potovu, na kudai kwamba waasi walishindwa, na kuamua kukimbia. “Mji wa Malakal kwa sasa uko chini ya udhibiti wa vikosi vya serikali”, amesema Manyang Juuk.
Sudan Kusini, tangu Desemba 15 inakabiliwa na mapigano makali, ambayo yanatishia kuenea nchi nzima na kugeuka vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Chanzo cha mgogoro huu, ni upinzani kati ya Rais Kiir na aliyekuwa Makamu wake, ambaye aliachishwa kazi mwezi Julai.
Rais Salva Kiir anamtuhumu aliekua makamo wake jaribio la mapinduzi, huku Riek Machar akikanusha tuhuma hizo, akibaini kwamba Salva Kiir anapanga kuwamalizia maisha wapinzani wake .
Waasi walichukua udhibiti wa miji mingine mikuu ya mikoa, Bentiu katika Jimbo la mafuta la Unity na Bor katika jimbo la Jonglei kabla ya kuanguta mikononi mwa jeshi la serikali jumaine iliyopita.
Migogoro ya hivi karibuni katika taifa changa, huru la Sudan inachochewa na malumbano ya muda mrefu kati ya vigogo wawili, rais Salva Kiir na aliekua makamu wake Riek Machar, lakini pia muelekeo wa kikabila :Dinka kabila ya Salva Kiir dhidi ya Nuer, ambalo ni kabila la Riek Machar.
Salva Kiir na Riek Machar walikubaliana kuanza mazungumzo , lakini bila kuweka tarehe . Na mapigano bado kufikia angalau nusu ya majimbo 10 ya nchi, ikiwa ni pamoja na Jonglei, Unity , Ecuador ya kati ( Juba ), lakini pia Nile na miji mingine
Waziri wa ulinzi wa Sudan Kusini , Kuol Manyang Juuk , amesema kwamba hizo ni habari potovu, na kudai kwamba waasi walishindwa, na kuamua kukimbia. “Mji wa Malakal kwa sasa uko chini ya udhibiti wa vikosi vya serikali”, amesema Manyang Juuk.
Sudan Kusini, tangu Desemba 15 inakabiliwa na mapigano makali, ambayo yanatishia kuenea nchi nzima na kugeuka vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Chanzo cha mgogoro huu, ni upinzani kati ya Rais Kiir na aliyekuwa Makamu wake, ambaye aliachishwa kazi mwezi Julai.
Rais Salva Kiir anamtuhumu aliekua makamo wake jaribio la mapinduzi, huku Riek Machar akikanusha tuhuma hizo, akibaini kwamba Salva Kiir anapanga kuwamalizia maisha wapinzani wake .
Waasi walichukua udhibiti wa miji mingine mikuu ya mikoa, Bentiu katika Jimbo la mafuta la Unity na Bor katika jimbo la Jonglei kabla ya kuanguta mikononi mwa jeshi la serikali jumaine iliyopita.
Migogoro ya hivi karibuni katika taifa changa, huru la Sudan inachochewa na malumbano ya muda mrefu kati ya vigogo wawili, rais Salva Kiir na aliekua makamu wake Riek Machar, lakini pia muelekeo wa kikabila :Dinka kabila ya Salva Kiir dhidi ya Nuer, ambalo ni kabila la Riek Machar.
Salva Kiir na Riek Machar walikubaliana kuanza mazungumzo , lakini bila kuweka tarehe . Na mapigano bado kufikia angalau nusu ya majimbo 10 ya nchi, ikiwa ni pamoja na Jonglei, Unity , Ecuador ya kati ( Juba ), lakini pia Nile na miji mingine


No comments:
Post a Comment