
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger, amesema mpangilio wa mechi ulisababisha
klabu hiyo kucheza mechi nne bila ushindi wowote.
klabu hiyo kucheza mechi nne bila ushindi wowote.
Lakini klabu hiyo ilimaliza ukame huo kwa kushinda mechi ya ya Alhamisi dhidi ya West Ham.
Kocha huyo amesema klabu yake imecheza mechi sita katika kipindi cha siku ishirini na tatu.
''Imekuwa wakati mgumu kwetu, lakini kilichosababisha sisi kutoandikisha matokeo bora ni
wingi wa mechi'' Alisema Wenger.
wingi wa mechi'' Alisema Wenger.
Arsenal ilianza kampeini yake mwezi huu kwa kuishinda Hull City kwa magoli mawili kwa bila,
lakini juhudu zao za kujinyakuliwa kombe lao la kwanza kwa zaidi ya miaka tisa, zilianza
kutumbukia nyongo pale ilipozoa alama mbili baada ya kucheza mechi tatu.
lakini juhudu zao za kujinyakuliwa kombe lao la kwanza kwa zaidi ya miaka tisa, zilianza
kutumbukia nyongo pale ilipozoa alama mbili baada ya kucheza mechi tatu.
Ililazwa 6-3 na Manchester City kabla ya kutoka sare na
Arsenal pia ililazwa magoli mawili kwa yai na Napoli kwenye mchuano wao wa mwisho wa
makundi ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya, hata hivyo vijana hao wa Wenger
walifuzu kwa raundi ya muondoano licha ya matokeo hayo.
makundi ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya, hata hivyo vijana hao wa Wenger
walifuzu kwa raundi ya muondoano licha ya matokeo hayo.
Mapema mwezi huu mcheza kiungo wa Arsenal Mikel Arteta alihoji uamuzi wa wasimamizi
wa ligi hiyo wa kuweka mechi yao na Manchester City kuchezwa wakati wa chakula cha
mchana, akidai kuwa wachezaji walikuwa na muda mfupi sana kujitayarisha baada ya
mechi yao na Napoli siku mbili zilizotangulia.
wa ligi hiyo wa kuweka mechi yao na Manchester City kuchezwa wakati wa chakula cha
mchana, akidai kuwa wachezaji walikuwa na muda mfupi sana kujitayarisha baada ya
mechi yao na Napoli siku mbili zilizotangulia.
No comments:
Post a Comment